a
Yer 8:22
;
15:18
;
Ay 6:4
;
Yer 10:19
b
Nah 3:19
;
Amu 6:31
;
Yer 14:19
;
8:22
;
46:11
Jeremiah 30:12-13
12
a
“Hili ndilo asemalo
Bwana
:
“ ‘Kidonda chako hakina dawa,
jeraha lako haliponyeki.
13
b
Hakuna yeyote wa kukutetea shauri lako,
hakuna dawa ya kidonda chako,
wewe hutapona.
Copyright information for
SwhNEN